Social Icons

Pages

Wednesday, November 25, 2009

KARIBU KIBARAZANI KWANGU MZEE WA MISHE MISHE


mheshimiwa hapa aitwa JULIAN ISHUNGISA lakini waweza punguza muda kwa kumuita J REE, bwana mdogo anafanya mambo makubwa kushinda umri na umbo lake kunako msebenuo wake wa www.twentyfoursevenmishemishe.blogspot.com tembelea pande hizo ili uungane nami kwamba jamaa ni mkali ile mbaaaya....kamata bomba twende mzeiiiiiya!

2 comments:

  1. Ngoja niende huko isije nikakosa mambo lakini kama nilikuwa huko muda si mfupi. Sio mbaya nikipita tena:-)

    ReplyDelete
  2. Nashukuru kuwa TUNADUMISHA UMOJA NA USHIRIKIANO.
    Asante kwako Da Aggie

    ReplyDelete

 

Sample text

Sample Text