
Muda mwingine hutokea mkagongana kwenye mavazi yaani kukawa na mfanano yawezekana wa rangi za nguo zenu ama ikawa sale kabisaaa kwa kila kitu, hicho ndo kilichotokea leo. Bahati Alex (Mkwe yangu) alinitangulia kufika kwa job, baadae nami nikafika mweeh! Tukaishia kucheka tu na kila mmoja kumpa sifa zake mwenzake kuwa kapendeza, basi tukaona si dhambi japo kupata kumbukumbu mbili tatu na kuzitupia kiduchuni....Karibu mpendwa.

Kaa humo

Anko na jirani yangu pia Abdul akaona isiwe tabu nae ang'ae na Kiduchu japo kidogo mweeh!

Raha tupu

Mamaa ya JAMBO BEAT (Bahati Alex)

Ankooooo
cool wah also browse your site ,
ReplyDeleteI really like and are excited about this can find your site ..
Greetings Introduction Of My Seo Milanisti
obat perangsang | obat kuat | alat bantu sex