Social Icons

Pages

Monday, May 21, 2012

NIMEJIKUTA NIPO SALE NA MKWE LEO... HAH HAHH

Muda mwingine hutokea mkagongana kwenye mavazi yaani kukawa na mfanano yawezekana wa rangi za nguo zenu ama ikawa sale kabisaaa kwa kila kitu, hicho ndo kilichotokea leo. Bahati Alex (Mkwe yangu) alinitangulia kufika kwa job, baadae nami nikafika mweeh! Tukaishia kucheka tu na kila mmoja kumpa sifa zake mwenzake kuwa kapendeza, basi tukaona si dhambi japo kupata kumbukumbu mbili tatu na kuzitupia kiduchuni....Karibu mpendwa.
Kaa humo
Anko na jirani yangu pia Abdul akaona isiwe tabu nae ang'ae na Kiduchu japo kidogo mweeh!
Raha tupu
Mamaa ya JAMBO BEAT (Bahati Alex)

Ankooooo


1 comment:

  1. cool wah also browse your site ,
    I really like and are excited about this can find your site ..
    Greetings Introduction Of My Seo Milanisti
    obat perangsang | obat kuat | alat bantu sex

    ReplyDelete

 

Sample text

Sample Text