
J-ree, Fatma & Ne-mo

Eliud...Jiraniiiii

Aggy & Kidy

Miss pelle & Mama john

Kija vipi kaka kwema? Karibu iringa bana...hah hah

Mkweeee, b moco ila huyo mwenzio sijampata vyema nikumbushe

Nimewapenda tu na si vinginevyo...

Emmo na wake Tausi wawauache

Mamaake na John (Neema Msafiri) na Ne-mo

Kiduchu na Kidy wangu mtuache, hah hah hahha... anavituko sana huyu ukikaa nae hata dkk5 lazima ucheke sana ni mchekeshaji asiye lazima kupaka masizi usoni ndo achekeshe

Dj Mubba

Dada Anna vipi mwenzetu unaechart nae hasomeki nini?

J-ree na mchizi wako mmetokelezea aisee

Wadau wangu majina yenu yamenitoka, ahsanteni kwa ushirikiano

Eddo bandugu, vipi hiyo mikono ipo tayari kwa kumlaki nani tena mwenzetu?

Mwee! Kiduchu & Ney hamjielewi...

We Hatya wewe, unamtakia nini mubba wa watu kwa mkao huo wajameni?

Duuh!! utanisaidia na wewe mwenzangu mi mgeni hapa mwee!

Hhah hah hah...sijawahi kulielewa kama ni pozi ama ndo mzuka wa picha, kaka waukweli aitwa Maleges huyu...

TAUSI, hapana chezea yeye kwenye uzungushaji wa nyonga awapo stejin haswaa pale ulindimapo mziki wa mwambao (Taarabu), utamtaka sasaa?!
No comments:
Post a Comment