
"Mpaka mama arudi shambani ndo akoleze moto saa ngapi? Wacha mi nianze kupiliza mie"

"Kila mtu na mtue babuweee,weka pozi la picha chuchuchu"

"I u u uuuu jamani achumba uchiogope" hah hah hah

"Weee lazima nionje kabla ya wateja wangu aisee" Kitu cha ULANZI hicho, kwa huku iringa hii ndo pombe inayotutambulisha.
Picha poa sana!
ReplyDelete