kaka saggy(mfanyakazi mwenzangu) a.k.a baba OTIS
kijana mtarajiwa OTIS,katuliia mwenyewe....aiseee ni kazuuuuri kwelikweli haka katoto...itabidi nifanye juu chini nimletee mke ili mimi na wazazi wake tuunganishe udugu...ha ha ha ha.
wifi LIGGE (mke wa kaka saggy) akiwa na kichanga chake leo katika wodi ya wazazi, hospital ya mkoa (iringa)
hey
ReplyDeleteHongera sana man.
Me tulisoma wote Azania
Mbonea.