Tuesday, November 3, 2009
WALIO WENGI KWA SASA WANAMILIKI SIMU ZA KIGANJANI,NANI ANABISHAA?..
mwenye nayo kwake mawasiliano huwa mswaaanu ile mbaya ili mladi iwe na mawe ya kutosha.
shughuri huja pale inapogeuka bomu....jamani si vyema kulonga na simu huku ikiwa inachajiwa mana mambo kama haya yanaweza kukukumba wakati wowote,,,,
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
No comments:
Post a Comment