Social Icons

Pages

Friday, November 6, 2009

ONDOA CHUNUSI KWA DAWA YA ASILI,,,,


Ukitaka kuondoa chunusi usoni na kusafisha uso usiwe na madoa kwa kiasili, njia zifuatazo zaweza sana kusaidia.Tafuta ukwaju loweka katika maji ukishalainika changanya na asali, paka usoni.
Ni dawa nzuri sana na utaona ngozi yako inabadilika kwa kipindi kifupi.
Kama utashindwa kupata vitu hivyo tafuta sabuni pamoja na krimu yenye mchanganyiko wa asali na ukwaju....lakini nadhani asali na ukwaju kama utaenda sokoni ni rahisi kupata,fanya hivyo ili upate amani ya moyo ndugu yangu.

2 comments:

  1. Asante kwa ushauri wako dada agness!lakini mchangayiko huu unafaa kwa aina zote za ngozi?

    ReplyDelete

 

Sample text

Sample Text