kuna washkaji walinitumia sms kupitia kilongalonga changu kwamba wanaomba niwawekee picha ya bonnie zacharia (b-sly) ili waweze kumsoma japo kwa mbalimbali mana wanavutiwa saaana na sauti yake awavutishapo pumzi kupitia bonge moja ya pindi liitwalo VUTA PUMZI kila siku ya j-tatu hadi ijumaa,kuanzia 4:00 jioni- 07:00 usiku. haya kazi kwenu b-sly ndo huyooo...kuna mwingine mwataka kumpigia camera? nambieni niwaletee mana kiduchu nipo kwaajiri yenu... ha ha haaa!
Friday, November 6, 2009
HAYA BASI FURAHI....BONNIE NDO HUYO.
kuna washkaji walinitumia sms kupitia kilongalonga changu kwamba wanaomba niwawekee picha ya bonnie zacharia (b-sly) ili waweze kumsoma japo kwa mbalimbali mana wanavutiwa saaana na sauti yake awavutishapo pumzi kupitia bonge moja ya pindi liitwalo VUTA PUMZI kila siku ya j-tatu hadi ijumaa,kuanzia 4:00 jioni- 07:00 usiku. haya kazi kwenu b-sly ndo huyooo...kuna mwingine mwataka kumpigia camera? nambieni niwaletee mana kiduchu nipo kwaajiri yenu... ha ha haaa!
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
bony sly katisha katisha
ReplyDelete