Friday, October 30, 2009
MSINIUMIZIEE...
kaka mkubwa Austin nyondo akimminya mzee wa manispaa ya iringa
kiduchu nilipo vamiwa studioni na baadhi ya wana ebony
kama wao ndo wametikisa nyavu vilee....AGAPE MSUMARI kushoto,akiwa na DJ MUBBA waliponifuata studio na kunipa sababu za wao kubugizwa 2 mtungi''' nikikwambia watakuja na bakora wanichalaze buuuure,wacha nifunge mdomo miye.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
aliyetufungisha hii mechi alikua ni golikipa wetu maalim kondo, bisha,,,,,,,,,,,,,,,,
ReplyDeleteLol.
ReplyDeleteKumbe Kondo ni kipa???
Kafungisha kivipi? Si huwa anachambua michezo? Ama kusema sio kutenda???
Anyway.Kubwa ni kuwa NYOTE MMEFURAHI NA MMEFANYA MAZOEZI NA MMEMALIZA SALAMA
Blessings
ha ha ha...Aaih agape jamani,kwani mi nlikuwepo uwanjani siku ilee?
ReplyDelete