Social Icons

Pages

Tuesday, November 2, 2010

MTIKISIKO 2010 SI KWENYE KONA SASAAAA??!


Juddy & J-ree, vijana wako vyema na wanasubiri siku ifike ili kwenda kumla bata mrefuuuuuuuuuu pande za mbeya kabla ya kumbeba bata kama alivyo na kumrudisha iringa tena kwenye uwanja wa samora ili kummalizia....ha hah ha,habari ya nani banaaaaaaa.

Mmmh,jamani hizo ni pashango za mtikisiko 2010 ama lipo linaloendeleaaa? Maana hilo pozi la juddy mi hoi lol! hah hah

Tunajadiliana tu jamani...si ndio Eddo? hah hah

Swagga zipo on jamani kwa kijana huyu,kama unavyompigia kamera...Mtikisiko 2010 banaaa

Judy Mzurikwao & Elly....Bata mrefuuuuuuuuuuuuuuu.

Jipangee, mzigo wenyewe si ndo tarehe 6 mbeya sasaaaa....

No comments:

Post a Comment

 

Sample text

Sample Text