Social Icons

Pages

Wednesday, September 29, 2010

HAYA SASA WACHAKACHUZI HAOOOO....


J-ree,Eddo & Raymond

Sitaki ushahidi wa kilicho wafurahisha hawa majamaa..

Hapo kila mtu na lake..(sagy,Sisy Rau & Sisy Tumaini)

Jambo likikufurahisha pia ruksa meno kuonekana jamani lol! (Marck D & Maleges)

Mmmmh! Very bizyyyyyyyy

Haya sasa kidole cha pili juuuuuuuu...hahh hahh

Eliudy na Ne-mo

Kiduchu ama Manzi wa Tziiii & Mtu mzima baba wawiliiii (Eddo)
Kila siku ya j5 saa 9:00 huwa naingia kwenye segment kwa eddo kupitia kipindi chake cha the splash kutoa Tich za Afrika ya mashariki ndani ya dakika 10, na kabla yakupaa kwa hewa vijiutani kama hivi huwa vinatokea so usiogope...hahh hah hahh

Dj mubba ukimkuta kwenye anga zake kama hivi, huwa si m'bahatishaji....

Mwisho wa siku tunakamilisha kwa kupiga mzigo kama hivi (Eddo ndani ya kipindi chake cha The splash akisababisha, ni kila siku ya jumatatu-ijumaa muda ni saa 8:00 mchana - saa 10:00 jioni)

No comments:

Post a Comment

 

Sample text

Sample Text