Social Icons

Pages

Thursday, May 6, 2010

WAPENDWA MSIONE KIMYA JAMANI,MALARIA ILIKUBALIKA KWANGU.....


Poleni sana wapendwa kwa kuwaacha kibarazani kwangu muda mreeefu bila mwenyeji wenu kuwepo, nilikamatwa kwelikweli na hii kitu mpaka nikahisi sitorudi tena na kuungana nanyi katika kupeana viduchuuuuzi.
Ila kwa nguvu zake maanani bado nahema na libeneke linaendelea,
sifa na utukufu namrudishia yeye aliye juu...

7 comments:

  1. Pole mama,angu,na baridi lote la huko m'mbu wanatoka wapi??au ndo.........??????????

    ReplyDelete
  2. Pole sana kwa homa namshukuru mungu upo nasi tena.

    ReplyDelete
  3. pole mwayegozz,ndio maana nilikuwa nikikatika hapa nakutana na nanihii tuu.kumbe ulikuwa unaumwagaaaaa???

    ReplyDelete
  4. Pole Da Mdogo.
    Sala kwako na uponyaji njiani kuja kwako
    Much Luv and Blessings
    PamoJAH

    ReplyDelete
  5. we kija weweee?...et au ndo...??? haah ahaahh mwone kwanza, na othman nawe uchokozi tuu!!! ahsanteni saaaaaa jamani nduguzanguni,tuko pamoJah!

    ReplyDelete
  6. Pole sana dada. Natumaini sasa utakuwa unajisikia vema na bukheri wa afya...

    ReplyDelete

 

Sample text

Sample Text