Social Icons

Pages

Thursday, April 22, 2010

HAPPY BIRTH DAY HAMAD ALLY SENEDA...


Mtu unapotoka hatua moja hadi nyingine kwenye maisha kumshukuru mungu linakuwa ni jambo kheri saaana, na hii haijalishi iwe nzuri ama mbaya kwa maana tunakumbushwa kushuku mungu kwa kila jambo. Lakini kwa tulio weengi huwa twashukuru kwa mazuri tu na mabaya tunanung'unika...
Leo kwa mjukuu wa SENEDA ni raha tupu kwasababu anamshukuru mungu wake kwa kuendelea kumpa pumzi yake aendelee kuitumia bule kabisaa bila kumtoza hata shilingi 1 maana ye anasema wapo wengi waliotamani leo wawe chini ya jua lakini kwa mapenz ya mola imekuwa ni tofauti. jamaa ameongeza mwaka mmoja kati ya ile aliyokuwa nayo tangu kuzaliwa kwake....
Kuna ujumbe amenitumia kwa njia ya simu ambao si vibaya nikaunukuu hapa "kiduchu eeh, kesho siku yangu ya kuzaliwa, unajua ntaifanyaje? ntatenbea na keki kwenye gari yangu na kumpitishia kila nimkumbukae namlisha na kumpiga picha then nasepa kwa mwingine...iringa pangekuwa mbezi nawe ungekuwa mmoja wapo lazima,ha ha ha" msg imeisha jamani lol!

Mi nakutakia kila lakher katika hii siku yako muhimu mwanawane na mungu akuongezee mingi zaidi na zaidi rais wa nzese...per more jah!!!

No comments:

Post a Comment

 

Sample text

Sample Text