Social Icons

Pages

Wednesday, April 7, 2010

MADONNA....DUUH! SIO MCHEZO...


Madonna ameelekea nchini Malawi kwa ajili ya wiki nzima ya masuala mbalimbali ya hisani nchini humo.Mkali huyo wa miondoko ya pop amechukua watoto wawili katika nchi hiyo ili kuwatunza kama watoto wake na mara kwa mara amekuwa akitoa fedha nyingi katika maeneo mbalimbali na kuanzisha pia kituo maalum cha hisani na amepangiwa siku ya jumanne kuanzisha msingi kwa ajili ya ujenzi wa shule maalum ya wasichana itakayojengwa nchini humo kwa gharama zake kwa kuweka tofali la kwanza, Shule hiyo itakayojengwa kwa gharama ya paundi milioni 15 inatarajiwa kufunguliwa mwaka 2011

madonna...

No comments:

Post a Comment

 

Sample text

Sample Text