Social Icons

Pages

Wednesday, April 7, 2010

KINDUMBWE NDUMBWE BADO KWA DAKTARI WA MICHAEL JACKSON...


Daktari wa Michael Jackson DR Concord Murray anatarajia kusubiri hadi june 14 wakati ambapo mashtaka juu yake kwamba aliongoza matumizi ya madawa makali kwa mwanamuziki mkali wa pop hata kusababisha kifo chake yatakapoanza kusikilizwa
Siku ya jumatatu daktari huyo akiwa katika mahakama hiyo alikutana na wapenzi na mashabiki wa mwamamuziki huyo sambamba na familia ya marehemu Michael akiwemo Janet Jackson na Jermaine Jackson wakiungana na mama yao Katherine na daktari Murray akaelezwa kuwa kesi hiyo itakuwa chini ya jaji Michael Pastor na june 14 itaana kusikilizwa
Daktari huyo amezidi kukana kuhusika na chochote kibaya kilichofanyika kwa Michael na hana kosa lolote...

michael anzi za uhai wake,akiwa na mdogo wake janet

No comments:

Post a Comment

 

Sample text

Sample Text