Social Icons

Pages

Friday, April 2, 2010

HA HA HA...DJ KWASA KAKOMESHA LEO...LOL!!


ha ha ha ha...kila aliyekuwa anakutana na sms hii hakuwa nalakusema zaidi ya kuzama mfukoni na kuchomoa mkwanja.

j-ree akisoma maujumbe kwenye mtupio wa dj kwasa...na hapa ni baada ya kupata chake.

ha ha ha,kuna watu wamepinda duniani hapa jamani lol! huyu jamaa leo kaja na mpya,kaja katupia hayo maujumbe kama yanavyosomeka kwenye kifua chake(NIMEKUJA KUSAKA HELA) kwaajiri ya kuwadai wale wooote aliokuwa anawadai. kazi aliyokuwa anaifanya ni kusimama mbele ya mdaiwa na kumwambia "soma ujumbu huu halafu zamamfukoni unirekebishie changu" ha ha ha..nikamuuliza kwanini ameamua kufanya hivyo,akasema anashangaa watu anao wadai wapo kimya tangu majuzi hawamwambii lolote wakati wanajua kabisa kuwa wanatakiwa kumlipa, sasa na yeye kumwambia mtu anaona aibu ndo maana akaona atafute mtupio wenye ujumbe wakumsaidia kuzungumza kama hivi....ha ha ha ha...aiseee nimeipenda ghafla,wewe je?

No comments:

Post a Comment

 

Sample text

Sample Text