Social Icons

Pages

Wednesday, March 17, 2010

MMH! KAAZI KWELIKWELI...


dj mubba na kiduchu...

huyu ni dj mubba akiwa nami...tulikuwa tunastor muda flani hivi mambo mengi mengi tu katika kubadilishana mitazamo. eti ndo akaibuka na swali la "hivi wanawake huwa tunajisikiaje tukiwa tumewaegemea wanaume kwa kuwadekea?" nika mwambia huwa ni raha haswa kwa anae kuhusu.heh! ghafla si ndo akajiegemeza kama unavyomuona na kuniambia eti "vipi mambo yageuke na wao ndo wawe wanatudekea wanawake kila siku na kujiegemeza kama hivyo,tutaweza kuhimili?" daah! nimemwomba anipe muda nlifanyie kazi swali lake...vipi mwenzangu unalakuweka kuhusiana na hili? karibu...

bwanaee,si tumezowea hivi...

No comments:

Post a Comment

 

Sample text

Sample Text