Social Icons

Pages

Tuesday, February 23, 2010

CONDOM KUONGEZWA KWENYE KOMBE LA DUNIA


kapendeza eeeh?

Maafisa wa kamati inayoandaa michuano ya kombe la dunia nchini Afrika Kusini, wamesema mipira ya Condom itasambazwa kwa wingi wakati wa dimba hilo. Maafisa hao wanasema hatua hiyo inanuiwa kuzuia maambukizi ya ukimwi wakati huo wa michuano. Daktari anayesimamia maswala ya afya katika kamati hiyo (Victor Ramathesele) amesema wingi wa watu watakaozuru afrika kusini, na hali ya sherehe itakayokuwako imewalazimu kuweka mikakati ya kipekee ya kuwakinga watu.
Afrika kusini ni moja ya mataifa yenye idadi kubwa zaidi ya watu wenye virusi vya ukimwi.

2 comments:

  1. duh! NIMEIPENDA HIYO, VIPI naweza kutengenezewa vazi la kiafrika kwa kutumia hizo baloons a.k.a condm? itakuwa pouwa balaa

    ReplyDelete

 

Sample text

Sample Text