KWA MWALIKO USIO NA KADI YA MCHANGO BINADAMU TUKO SHAPU ILE MBAAYA....HA HA HA!
kiduchu na jema (mfanyakazi mwenzangu),leo tulialikwa lunch na dada tumaini msowoya wa gazeti la mwananchi...na hapo ndo tupo oficn kwake tukimsubiri awe tayari tayari ili akatushibishe.
No comments:
Post a Comment