Social Icons

Pages

Tuesday, October 27, 2009

CHEKI TYM YAKO UTAJUA NAZUNGUMZIA NINI.



ni muda wa kupata hicho kitu unachokiona,kama vipi tukutane mishale ndugu yangu...ila karibu tuungane katika umegaji matonge usijeniita mkono wa birika buuure.

5 comments:

  1. Unapokuwa na njaa kali kama niliyonayo mimi sasa hivi, kutazama pichga kama hizi huleta purukushani tumboni.

    ReplyDelete
  2. @Bwaya: Umesema nilichokuwa nafikiria.:-)

    ReplyDelete
  3. Ni vizuri kusoma blog hii wakati hauna njaa :-)

    ReplyDelete

 

Sample text

Sample Text