Social Icons

Pages

Tuesday, July 13, 2010

HAYA TENA LINEX KUKOBOA MAFINGA J-MOSI HII........


"Aaaah bwana kwanini nini? tushow mapendo tu kama vipi" Linex na Kiduchu.
Jamaa atadondosha show ya nguvu jumamosi ya tarehe 17-7-2010 kwa kushirikiana na mtu mzima O-ten,Ne-mo na Hama q ndani ya Ebony club shimoni pande za mafinga,show imepewa jina la "USIKU WA AKIPENDACHO BINTI & TOA HELA" kama vipi waweza jisogeza pale.

Hatya,Mama kijacho,Linex na Moris

Hatya mama jiweka humo tu kama vipi...hahhha hhhha hhahah

"weeee,sidanganyiki linex nakwambia"

No comments:

Post a Comment

 

Sample text

Sample Text