Social Icons

Pages

Wednesday, June 23, 2010

NI ZAMU YA EXTRA BONGO NEXT LEVEL SASA......


Respect Entertainment inakuletea EXTRA BONGO NextLevel ndani ya Iringa kunako kiwanja kile kile cha maraha Club V.I.P,itakuwa ni ijumaa hii kuanzia mida ya saa 2:oo usiku kwa kiingilio cha shilingi 10,000...pia watasindikizwa na wasanii wa kizazi kipya kama: Profassa jay, Matonya,Hussen Machozi na Wa2ku2.
Kama vipi jisogeze pande hizo mwanakwetu...

Hussen Machozi

Jay wamitulinga kama kawa...

No comments:

Post a Comment

 

Sample text

Sample Text