Social Icons

Pages

Monday, October 26, 2009

IMENIKUMBUSHA MBALI AISEE..


katika pekua pekua zangu nikakutana na hii picha,imenikumbusha mbali kidogo. kitu cha mwanzoni mwa mwaka jana baadhi ya wafanyakazi wa ebony tulipoenda kuitembelea Malawi,kutoka kushoto ni mamaa wa JAMBO BEAT BAABU KUBWA Bahati alex, Shaban kondo,George ndabagoye,Ibrahimu issa na Kiduchu mwenyewe (agness Samson). Natamani kama ije kujirudia tena.

3 comments:

  1. itarudia mama usijali, its new team remember! lets make it hapen.

    ReplyDelete
  2. yap yap kaka mkubwa naamini itakuja tena na itakuwa bomba zaidi...

    ReplyDelete
  3. Dah!!! Hii picha imenikumbusha mbali na niliipenda sana na nakumbuka nilivyoeleza hilo hapa (http://changamotoyetu.blogspot.com/2009/10/pass-it-on.html)
    KARIBU CHANHAMOTONI

    ReplyDelete

 

Sample text

Sample Text