Ni Wewe ni kampeni iliyozinduliwa na redio Ebony FM iliyoko Nyanda za juu kusini, ikiwalenga zaidi wananchi wa vijijini ambao miundo mbinu ya umeme bado haijawafikia kwakuwasaidia kwa kuwapa majokofu yasiyotumia umeme, unga wa ngano na nguo... Hii yote ikiwa na dhumuni kubwa la kurudisha fadhila kwa wasikilizaji wa redio Ebony FM kwa kipindi chote cha miaka 8 tangu kuanzishwa kwake.
Featured Posts
Wednesday, July 16, 2014
Monday, May 21, 2012
NIMEJIKUTA NIPO SALE NA MKWE LEO... HAH HAHH
KUTOKA MIGOLI MTERA, ZILINIVUTIA TU...
Friday, May 18, 2012
KILA MTU ANA MBINU ZAKE ZA USAKAJI MAHELA
Kila mtu analiwazo lake bana haswa pale anapokuwa na msongo wa mawazo, baba huyu anaekaa maeneo ya kitanzini Iringa Mjini ye liwazo lake ni hili gitaa lake, akishamaliza mishe zake za usakaji mshiko akili inakuwa imechoka kifaa pekee kinachoweza kufanya akawa sawa ni hili gitaa na analikung'uta haswaa, wanaoguswa na nikuno yake basi kumtunza hailipiwi... Mi pia ni mmoja wawalio pagawishwa nauchanaji nyuzi wake... Chukua hiyooo!!!

Wakati mzuka wa gitaa umepanda akaja mama muuza vibatari, baba huyu akamwuliza bei yake mama akasema 800, dingi huyu akasema ye anaweza kumuungisha kwa mia7, mama akasema hailipi, baba akasema ye hapo ndo anaposimamia. Kijana hapo pembeni ye alienda hapo kusikiliza nyuzi zinavyochanwa na mdingi huyu...
Thursday, May 17, 2012
FURAHI NA WADAU WENZIO
Subscribe to:
Posts (Atom)