Tuesday, January 11, 2011
BAADA YA KAZI NI BURUDANI....
Mshukuruni mungu nyie watoto, aisee wakareeeeeeeee ni noma (Hatya & Judy)
Mmmmmmh!!!
Sis Ndey...
Habari zenyu banaaaaaaaaaaa.....
Hahh hah hah hah...jamaniii loool!
Mmh! Dj kwasa, ndo kazi na dawa ama?
Shangwekeni tu vijana,wenzenu wengine wanaishia kuota tu bata kama hizi...
Duuh! Sijui mi nilikuwa wapi wajameniii??
Mamamama mamamama! We Judy weee, unamfanyia nini Allen wa watu jamaniiii? Hahh hha..
Mmmh! Glory na Mack style gani tena hiyo ya uchezaji wapendwaaa??!!
Bahati & j-ree
Jamani mpo vutooooooooooo wana da shosti (Gloy & Hatya)
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
agy we ni jau my dear,hatua kwa hatua...duh
ReplyDelete