Social Icons

Pages

Thursday, May 17, 2012

FURAHI NA WADAU WENZIO

J-ree, Fatma & Ne-mo
Eliud...Jiraniiiii
Aggy & Kidy
Miss pelle & Mama john
Kija vipi kaka kwema? Karibu iringa bana...hah hah
Mkweeee, b moco ila huyo mwenzio sijampata vyema nikumbushe
Nimewapenda tu na si vinginevyo...
Emmo na wake Tausi wawauache
Mamaake na John (Neema Msafiri) na Ne-mo
Kiduchu na Kidy wangu mtuache, hah hah hahha... anavituko sana huyu ukikaa nae hata dkk5 lazima ucheke sana ni mchekeshaji asiye lazima kupaka masizi usoni ndo achekeshe
Dj Mubba
Dada Anna vipi mwenzetu unaechart nae hasomeki nini?
J-ree na mchizi wako mmetokelezea aisee
Wadau wangu majina yenu yamenitoka, ahsanteni kwa ushirikiano
Eddo bandugu, vipi hiyo mikono ipo tayari kwa kumlaki nani tena mwenzetu?
Mwee! Kiduchu & Ney hamjielewi...
We Hatya wewe, unamtakia nini mubba wa watu kwa mkao huo wajameni?
Duuh!! utanisaidia na wewe mwenzangu mi mgeni hapa mwee!
Hhah hah hah...sijawahi kulielewa kama ni pozi ama ndo mzuka wa picha, kaka waukweli aitwa Maleges huyu...
TAUSI, hapana chezea yeye kwenye uzungushaji wa nyonga awapo stejin haswaa pale ulindimapo mziki wa mwambao (Taarabu), utamtaka sasaa?!

No comments:

Post a Comment

 

Sample text

Sample Text