Thursday, June 9, 2011
BURUDIKA NAZO BASI NA WEWE...
"Mpaka mama arudi shambani ndo akoleze moto saa ngapi? Wacha mi nianze kupiliza mie"
"Kila mtu na mtue babuweee,weka pozi la picha chuchuchu"
"I u u uuuu jamani achumba uchiogope" hah hah hah
"Weee lazima nionje kabla ya wateja wangu aisee" Kitu cha ULANZI hicho, kwa huku iringa hii ndo pombe inayotutambulisha.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Picha poa sana!
ReplyDelete